Naye bingwa wa zamani wa dunia wa mchezo huo, Caroline Wozniacki naye ameondolewa katika michuano hiyo, baada ya kuumia katika mchezo wake wa kwanza na Danielle Collins ambapo alipoteza kwa seti 7-6 na 7-5.
Michuano ya wazi ya tenisi ya Ufaransa itaanza kutimua vumbi Mei 23.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |