Kocha wa timu hiyo Pep Guardiola anataka kujenga kikosi imara na tayari ana orodha ya nyota wane anaowataka kwa ajili ya msimu uajo wa ligi.
Katika mazungumzo yake na waandishi wa habari, Guardiola alibainisha kwamba, anataka beki, viungo wawili na mshambuliaji ambao anaamini watakuwa chachu ya mafanikio ya klabu hiyo msimu ujao.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |