Mkurugenzi wa Kitengo cha mambo ya WTO katika wizara hiyo ameeleza kuwa mapendekezo yaliyotolewa na China yanahusisha maeneo manne muhimu yakiwa ni pamoja na kutatua masuala makuu yanayotishia uwepo wa shirika hilo; kuihusisha zaidi WTO kwenye usimamizi wa mambo ya uchumi duniani; kuongeza ufanisi wa utendaji kazi wa WTO, na kuongeza ushirikishi wa utaratibu wa biashara ya pande nyingi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |