Rais Xi Jinping wa China ametoa wito wa kuzitaka nchi, makabila na tamaduni tofauti duniani kuimarisha mawasiliano na kufundishana, ili kujenga vizuri msingi wa utamaduni wa kujenga kwa pamoja Jumuiya ya Asia yenye mustakabali wa pamoja, na Jumuiya ya binadamu yenye mustakabali wa pamoja. Amesisitiza kuwa tamaduni zinawasiliana kutokana aina anuani, kunufaishana kutokana na kuwasiliana, na kupata maendeleo kutokana na kufundishana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |