Mnamo mwezi Februari mwaka huu, Rwanda ilifunga baadhi ya sehemu zake mpakani na kulemaza shughuli za biashara. Kulingana na Benki ya Uganda, mapato kutoka Rwanda yalipungua kutoka doa milioni 14.51 mwezi Februari mwaka huu hadi dola milioni 2.64 mwezi Machi. Haya ni mapato ya chini zaidi kuwahi kutoka Rwanda tangu mwaka wa 2006. Hadi sasa biashara bado imelemezwa kutokana na Rwanda kufunga mipaka yake ili kuwazuai wafanyibiashara wa Uganda kufanya shughuli zao.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |