Kampuni ya Huawei ya China imesema, ina uwezo wa kutosha kuendelea kuendeleza na kutumia mfumo wa Android, na kuhakikisha bidhaa na huduma zake haziathiriwi katika soko la China.
Kauli hiyo ya Huawei imetolewa baada ya kampuni ya Google ya Marekani kutangaza kuwa itafuta leseni ya Android kwa kampuni ya simu za mkononi ya Huawei ya China.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |