mwanariadha huyo amesema kuwa dawa hizo zina kemikali ambazo huenda zikaleta athari katika maisha ya baadaye.
Mwanadada huyo ni miongoni mwa wanariadha walioathiriwa na sheria mpya ya shirikisho la riadha duniani IAAF inayowataka wanawake walio na viwango vya juu vya homoni za kiume kutumia dawa ili kuzipunguza mwilini na kusisitiza kuwa sheria hiyo ni nzuri katika kuleta usawa katika mashindano.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |