Warriors baada ya kushinda mechi tatu za mwanzo, imeibuka na ushindi wa mbinde mwishono kabisa mwa mchezo huo ambapo chini ya dakika walifungana kwa idadi ya alama 111-111 na kuwamaliza wapinzani wao kwa ushindi wa 119-117.
Nyota Draymond Green na Stephen Curry wamefanikiwa kufunga triple double, na kuipeleka Warriors kucheza fainali wakisubiri mashindi toka ukanda wa magharibi kati ya Milwaukee Bucks au Toronto Raptors.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |