Miradi hiyo imetekelezwa kupitia programu ya miundombinu ya masoko,uongezaji thamani na huduma za fedha vijijini (MIVARF). Akiwa katika kiwanda cha kusindika maziwa cha The Grand Deman, kilichopo Leganga emeo la Usa River wilayani Arumeru, Rais huyo wa IFAD alielezwa na Muro kuwa, miradi hiyo imetekelezwa kwa lengo la kuimarisha uchumi wa nchi. Miradi mingine ni ukarabati wa ghala lenye uwezo wa kuhifadhi tani 300 katika kijiji ca King'ori.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |