Naye Mwenyekiti wa bodi ya Simba, Mohamed Dewji amewapongeza benchi la ufundi, viongozi, wachezaji na mashabiki wa timu hiyo kwa ushirikiano hatimaye kufanikiwa kutetea ubingwa.
Dewji pia amesema klabu hiyo itakwenda Ureno ama Marekani kujiandaa kwa msimu ujao ili kuendelea kufanya vizuri.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |