Inaelezwa kuwa Qatar wamekuwa wakijipanga kuwa wenyeji wa timu 32 toka 2010 na hata maandalizi yao yalikuwa yanalenga kutumia viwanja nane vilivyoandaliwa tayari, hivyo kwa miaka mitatu iliyosalia Qatar hawezi kumudu ongezeko la timu kutoka 32 yaliokuwa matarajio yao hadi 48.
Hata hivyo wazo la timu 48 linabakia kuwa kama wazo litakaloanza kufanya kazi rasmi 2026 katika fainali za Kombe la Dunia litakalokuwa na wenyeji watatu United States, Canada na Mexico, sababu za kisiasa ndio zimeleta utata kwa Qatar kukubali ongezeko la timu na kuwa mwenyeji kwa ushirikiano na mataifa jirani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |