Afisa wa Tume ya Taifa ya Maendeleo na Marekebisho alisema hayo wakati akijibu waandishi wa habari kuhuhu iwapo madini ya China yatatumika kama mojawepo wa hatua za kukabili Marekani dhidi ya China.
Madini adimu hutumika kuzalisha vifaa mbalimbali vya teknolojia ya juu, ikiwa ni pamoja na betri za simu, simu za kisasa, injini za ndege, na vifaa vya matibabu kama mashine za MRI.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |