Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Bw. Lu Kang, amesema rais Xi Jinping wa China atafanya ziara nchini Russia kuanzia tarehe 5 hadi tarehe 7 Juni, na kuhudhuria baraza la 23 la uchumi la kimataifa la St. Petersburg.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |