Shujaa imefanikiwa kutinga robo fainali hiyo baada ya kuichapa Wales miguso 26-21 kwenye mechi ya mwisho ya kundi B iliyochezwa mwishoni mwa wikiendi.
Ushindi wa Shujaa dhidi ya Wales na Scotland kuwabwaga Japan, kumewahakikishia Kenya kuendelea na michuano ya raga ya dunia kwa mara ya 18 mfululizo tangu msimu wa 2002-2003, sasa haiwezi kufikiwa na Japan.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |