Wakali Saido Mane anayekipiga klabu ya Liverpool, Idrisa Gueye wa Everton na Cheikhou Kouyate wa Crystal Palace za Uingereza ni baadhi ya wachezaji wakubwa katika kikosi hicho cha Lions of Teranga cha wachezaji 25 waliotajwa na kocha wa timu hiyo Aliou Cisse.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |