Uchunguzi wa data ya hivi karibuni ya matumizi iliyochapishwa na Benki Kuu ya Kenya (CBK) inaonyesha kwamba Kenya imekuwa ikitumia angalau mara 1.3 zaidi ya mapato yake yote katika miezi 12 hadi Agosti 2018.
Rais Uhuru Kenyatta alirithi deni la umma la Sh trilioni 1.7 mwezi Machi 2013 kutoka kwa utawala wa Mwai Kibaki.
Kwa sasa deni hiyo imekua mara tatu katika kipindi cha miaka mitano iliyopita Sh trilioni 5.1 .
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |