Mchezo mwingine wa robo fainali utapigwa Jumapili Juni 9 baina ya Kinshasa Youth Sports itakapokutana na OC Bukavu Dawa, huku AC Real Kin watamenyana na AS Maniema Union.
Michuano hiyo ya mtoano, bingwa atungana na timu ya Motema Pembe kuwakilisha DRC katika michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |