Mbali na kuwa mabingwa wa raga ya dunia msimu huu wa 2018/2019, Fiji pia ilifuzu kushiriki Olimpiki nchini Japan mwaka 2020 pamoja na washindi wa pili New Zealand na wa tatu Mareakni, na nne Afrika Kusini zimekata tiketi ya kushiriki Olimpiki kwa kumaliza michuano hiyo ya raga ya dunia katika nafasi nne za kwanza.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |