Mwanamke huyo aliyetokea Brazili amedai Neymar alimbaka katika hoteli moja iliyopo Paris, Ufaransa‬. Kupitia ukurasa wake huo wa Instagram, Neymar ameeleza kuwa, amesikitishwa na kuumizwa sana kwa tuhuma hizo na kuwa mwanasheria wake analifanyia kazi suala hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |