Pia ripoti hiyo imebaini kuwa Kenya imeongeza kwa kiwango kikubwa upatikanaji wa umeme kati ya mwaka 2010 na 2017.
Kwa sasa asilimia 75 ya wakeya wana huduma za umeme ikilinganishwa na asilimia 22 tu ya Uganda 32 ya Tanzania na 34 ya Rwanda.
Kenya inapanga kufikisha huduma za umeme kwa watu wote ifikapo mwaka 2022.
Hata hivyo ripoti hiyo inaonyesha kuwa watu milioni 573 barani Afrika wanasalia bila huduma za umeme.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |