Waziri wa miundo mbinu Claver Gatete amesema hayo wakati akizindua ujenzi wa nyumba 3,000 katika eneo la Nyamirambo.
Mradi huo ni ubia kati ya benki ya maendeleo ya Afrika na hazina ya kujenga nyumba ya Shelter Afrique kwa gharama ya dola milioni 50.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |