• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya: Kampuni ya China ya kuregeleza taka kuwekeza Mombasa

    (GMT+08:00) 2019-06-04 19:56:05
    Kampuni ya Weeco Recycling kutoka china imetangaza kuwa itawekeza dola milioni 6 kufungua kiwanda cha kuregeleza taka za plastiki katika mji wa mobasa nchini Kenya.

    Mkurungezi wa kampuni hiyo Luo Ming, amesema waliingia kwenye soko la kenya ili kupunguza athari ya aka za plastiki kwenye mazingira amabzo huishia hasa kwenye bahari mito na maziwa.

    Amesema tayari wameagiza mashine za kiwanda hicho kutoka china.

    Tayari kampuni hiyo ina kiwanda kingine katika eneo la Athiriver ambapo inaregeleza tani 2,000 za chupa za plastiki kila baada ya miezi 3.

    Weeco inashirikiana na kampuni ya PETCO Kenya ambayo hulipa dola 0.05 kwa kila kilo ya plastiki kwa kampuni hiyo ya China.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako