Katika mechi ya kufungua mchujo huu wa ukanda wa tano unaoshirikisha mataifa manne pekee, mabingwa mara tano wa voliboli ya African Games, Misri wamecharaza Rwanda kwa seti 3-1. Bingwa wa michuano hii atakata tiketi ya kushiriki makala ya 12 ya mashindano ya African Games yatafanyika nchini Morocco kutoka Agosti 19 hadi 31 mwaka huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |