Michuano ya Kombe la Kagame kwa klabu za Afrika Mashariki na Kati inayojulikana zaidi kama kombe la CECAFA inatazamiwa kufanyika Julai 7 hadi 21 mwaka huu nchini Rwanda.
Katibu mkuu wa CECAFA, Musonye ametaja timu zitakazoshiriki michuano hiyo ni Azam na Simba za Tanzania, Gor Mahia ya Kenya, Eagles ya Burundi, Rayon Sports, APR NA Mukura za Rwanda, Zesco United ya Zambia, pia timu kutoka Sudan, Ethiopia, Somalia, Eritrea na Djibout zitashiriki.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |