• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Ofisa wa IMF asema mageuzi ya mfumo wa uchumi wa China yatarajia kusaidia uchumi uwe wazi zaidi

    (GMT+08:00) 2019-06-06 18:29:51
    Naibu mkurugenzi wa idara ya Asia na Pasifiki ya Shirika la Fedha la Kimataifa IMF Bw. Kenneth Kang, amesema mageuzi ya mfumo wa uchumi wa China yataufanya uchumi uwe wazi zaidi na kuongeza nafasi ya soko katika uchumi.

    Bw. Kang amesema hutua zilizochukuliwa na China za kuongeza usimamizi wa fedha, kupunguza ufisadi katika usimamizi na kuboresha mfumo wa kusimamia, zimehimiza ongezeko la mikopo na kupungua kwa mzigo wa madeni kwa makampuni.

    Bw. Kang pia amesema kuanzia mwanzoni mwa mwaka huu, ongezeko la uchumi wa China limeonesha mwelekeo wa utulivu, na limeonesha athari chanya za utekelezaji wa sera husika.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako