Shonza amezungumza hayo jana kwenye kambi ya timu hiyo alipokuwa akiiaga tayari kwa safari ya Misri. Naye nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta akizungumza kwa niaba ya wachezaji wenzake, amesema wanaishukuru serikali ya nchi hiyo kwa kuwaunga mkono tangu mwanzo na wanaahidi watapigana kufa na kupona kufanya vizuri kwenye michuano hiyo
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |