Tamasha hilo lililoandaliwa na mamlaka ya mitaa lilifanyika ndani ya uwanja wa michezo katika kusherehekea sikukuu ya Eid al-Fitr. Vikosi vya usalama vimepelekwa kwenye eneo la tukio kulinda usalama wa akina mama na watoto.
Mpaka sasa, hakuna kundi lolote lililokiri kuhusisha na tukio hilo, lakini kikosi cha usalama kinayatuhumu makundi ya kigaidi kuhusika na shambulizi hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |