Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na klabu ya Yanga ya Tanzania, imeeleza sababu nne za kujitoa kwenye michuano hiyo ikiwemo wachezaji kumaliza mikataba yao na kutokamilika kwa baadhi ya taratibu za usajili wa wachezaji wapya.
Sababu nyingine ni kocha wao Mwinyi Zahera raia wa DRC na baadhi ya wachezaji wao kwenda kushiriki michuano ya AFCON nchini Misri.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |