Giriki ameshinda kwa upande wa wanaume ametumia saa 1:05:50 huku Failuna akishinda kwa upande wa wanawake baada ya kutumia saa 1:12:30 na kuwapita Judith Cherolo wa Kenya aliyemaliza wapili na nafasi ya tatu ikichukuliwa na mtanzania mwingine Magdalena Chrispin.
Mashindano hayo yameshirikisha wanariadha 700 katika mbio za kilomita 21, kilomita 5 na kilomita 1.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |