Kenya ilipata goli dakika ya 52 kwa mkwaju wa penalty kupitia mshambuliaji wake wa kimataifa anayekipiga katika klabu ya Tottenham Hotspurs Victor Wanyama.
Baada ya mchezo huo, Kenya sasa itaelekea jijini Madrid Uhispania kwa ajili ya mechi nyingine ya kirafiki dhidi ya the Leopards ya DRC Juni 15.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |