Huo ulikuwa ni mchezo wa nne katika mfululizo wa fainali hizo za NBA unaowafanya vijana wa Toronto kuongoza kwa michezo 3-1.
Kwa matokeo hayo timu ya Toronto Raptors mpaka sasa inahitaji kushinda mechi moja pekee kati ya michezo mitatu iliyosalia ili kutangaza ubingwa wa ligi hiyo msimu huu. Mchezo wa tano utapigwa alfajiri ya Juni 11, 2019 ambapo Warriors watakuwa ugenini.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |