• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Tanzania: Kupigwa marufuku kwa mauzo ya nje vipepeo inaendelea

    (GMT+08:00) 2019-06-10 19:41:18

    Kupigwa marufuku kwa mauzo ya nje kipepeo inaendelea, Naibu Waziri wa Rasilimali na Utalii, Constantine Kanyasu mwishoni mwa wiki iliyopita, alisema kupigwa marufuku kwa kilimo cha kipepeo itaendelea na kushauri wakulima kutafuta namana nyengine za kupata mapato kupitia bidhaa hizo.

    Akizungumza wakati wa kufungwa kwa maonyesho ya biashara ya Tanga, Kanyasu amesema kuwa maeneo ambayo kilimo cha kipepeo kinafanyika sasa inapaswa kuunda njia mpya za kuwavutia wageni kuona vipepeo badala ya kuuza.

    kuvutia wageni kwenye maeneo ya kipepeo itakuwa njia bora zaidi kuliko kuuza nje kelekea Ulaya kwa sababu nchi inaweza kupata mapato zaidi kutoka kwa biashara hiyo kuliko mauzo ya nje.

    kwa mujibu wa Meneja wa Mradi wa Ukulima wa kipepeo, Amir Sheghembe, Wakulima walikuwa wakipata Sh. 80,000 na 300,000 kila mwezi kutokana na mauzo ya vipepeo ambao walikuwa wakiuzwa kuelekea Ulaya, Marekani na Australia.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako