DRC itacheza mchezo wake mwingine wa kirafiki na Harambee Stars ya Kenya Juni 15, huku ikisubiri kukutana na Uganda Cranes katika mchezo wa kwanza wa mashindano hayo ya Afcon Juni 22, kisha itavaana na wenyeji Misri June 26 na kumaliza mchezo wa mwisho wa kundi lake na Zimbabwe Juni 30.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |