Kituo cha televisheni cha waasi cha Al-Masirah cha Yemen kimeripoti kuwa, waasi wa Houthi wamefanya mashambulizi kadhaa kwenye kituo cha kijeshi katika mkoa wa Asir, kusini magharibi mwa Saudi Arabia.
Mashambulizi hayo yanalenga kituo cha anga cha King Khaled, mjini Asir, lakini serikali ya Saudi Arabia haijathibitisha kutokea kwa mashambulizi hayo.
Hayo ni mashambulizi mapya kutangazwa na waasi wa Yemen dhidi ya miji na vifaa zilizoko mpakani mwa Saudi Arabia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |