Wizara ya uchukuzi nchini Kenya itaanzisha kampuni ya kuendesha mabasi 64 ya kasi yanayotarajiwa kupunguza msongamano wamagari mjini Nairobi.
Waziri wa uchukuzi James Macharia alisema kampuni hiyo itakuwa na uwakilishi kutoka kwa umma na sekta binafsi.
Serikali ilitumia shilingi bilioni 1.6 kununua magari hayo.
Mfumo wa Usafiri wa mabasi ya mwendo kazi umeundwa ili kuboresha mtandao wa usafiri wa umma ambao utakuwa rahisi kuliko mabasi ya kawaida.
Maeneo yatakayopewa kipaumbele cha uchukuzi wa mabasi hayi ni kama vile uwanja wa ndege, barabara kadhaa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |