Sekta hizo ni madini, maliasili, fedha hususani katika maeneo ya upatu (DECI) na maeneo mengine.
Bi Samia amesema mafanikio hayo yametokana na Tanzania kufanya marekebisho makubwa katika sheria ya utaifishaji wa mali zitokanazo na uhalifu pamoja na sheria ya kuzuia utakatishaji wa fedha haramu.
Alisema lengo la kufanya maboresho hayo ni kuhakikisha zinakuwa na ufanisi unaotakiwa katika kupambana na mbinu mpya za kihalifu, hasa katika makosa ya uhalifu wa kupangwa na mengine yanayovuka mipaka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |