Ndege RwandAir kuelekea uwanja wa ndege wa Kimataifa ya Baiyun Guangzhou itafanya safari zake mara tatu kwa wiki na Airbus A330 kupitia Mumbai, kwa mujibu wa viongozi wa RwandAir.
Kufikia leo mchana ndege hiyo ilikuwa tayari imejaza abiri.
Guangzhou ni kitovu kikuu cha uagizaji wa aina mbalimbali bidhaa kuelekea Rwanda na njia mpya - ya kwanza kati ya mji wa China na Kigali ndege hii inatarajiwa kuongeza biashara na kurahisisha usafiri kati ya miji miwili.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |