Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametaka juhudi za kupambana na jangwa na ukame. Kwenye ujumbe wake katika Siku ya Dunia ya Kupambana na Majangwa na Ukame, inayoadhimishwa kila Juni, 17, Guterres amesisitiza umuhimu wa kutambua mapambano dhidi ya majangwa kuwa ni jambo la haraka katika juhudi za dunia za kutimiza malengo ya maendeleo endelevu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |