• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Uchumi wa Kenya ulipungua katika miezi mitatu ya kwanza, Ukuaji wa Pato la Taifa ulikua kwa asilimia 5.6

    (GMT+08:00) 2019-07-01 20:12:47
    Uchumi wa Kenya uliongezeka kwa asilimia 5.6 katika robo ya kwanza mwaka 2019, serikali imesema katika Pato la Taifa(GDP) la kwanza la mwaka.

    Takwimu hiyo inathibitisha uchumi ambao ulipata ukuaji mwaka 2018, ilikuwa umeanza kudidimia katika kipindi hicho, ikilinganishwa na utendaji ulioandikishwa wa asilimia 6.5 katika robo sawa ya 2018.

    Ofisi ya Taifa ya Takwimu ya Kenya inasema kushuka kwa kasi kwa katika Pato la Taifa(GDP) kunasababishwa na kushuka kwa shughuli za kilimo baada ya kuchelewa kwa mvua.

    Sekta ya kilimo, misitu na uvuvi ilikua kwa asilimia 5.3 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 7.5 ya robo sawa mwaka 2018.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako