Hii ilikuwa pia kushuka kwa chini kutoka diolla milioni 245.36 iliyotumwa nyumbani mwezi Aprili.
Malipo iliyoingia iliongezeka kwa 29.77 hadi dolla bilioni 1.16 katika miezi mitano hadi Mei ikilinganishwa na dola milioni 890.11 iliyotumwa kipindi hicho mwaka jana.
Hii inaonyesha Wakenya wanaoishi nje ya nchi wanaendelea kutumia faida ya msamaha wa kodi juu ya kipato cha kigeni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |