Idhaa ya Kiswahili
Uchumi
Michezo
Facebook
ChinaABC
Sayansi
Afya
SOKA: Kombe la dunia la wanawake- michezo ya nusu fainali kupigwa Julai 3 na 4.
(GMT+08:00) 2019-07-02 08:25:24
Michezo miwili ya nusu fainali ya michuano ya kombe la dunia kwa wanawake inayoendelea nchini Ufaransa, itachezwa kesho Jumatano na Alhamisi.
Uingereza itakutana na Marekani hapo kesho, na siku ya Alhamisi, Uholanzi watamenyana na Sweden.
Webradio
Sauti
6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
FM 1
12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
FM 2
20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
FM 3A
FM 3B
Maoni yako
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved.
16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040