• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya: Mizozo ya Sudan na Iran yaathiri muzo ya Chai Kenya

    (GMT+08:00) 2019-07-02 19:54:56
    Chama cha wauza chai wa Afrika Mashariki kimeonya kuwa bei ya bidhaa hiyo huenda ikashuka kufuatia mizozo ya kiuchumi na kisiasa kwenye nchi zinazonunua chai kwa wingi..

    Pakistan, ambayo ni mnunuzi mkubwa wa chai ya Kenya imekuwa na mdororo wa sarafu yake kwa asilimia 20 ndani ya mwaka mmoja uliopita hku nao mfumko wa bei ukifikia asilimia 9.

    Baraza la kiuchumi la kitaifa nchini Pakistan limesema uchumi unatarajiwa kupungua hadi asilimia 2.4 na mfumko wa bei kupanda hadi asilimia 13.

    Mwenyekiti wa chama cha wauza chai wa Afrika Mashariki Peter Kimanga amesema mauzo ya chai kwenda Sudan na Iran piayamepungua kufuatia misukosuko ya kisisasa.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako