Benki hiyo imesema ukuaji unatarajiwa kukua kwa asilimia 7.8 mwaka 2019 lakini pia ni upungufu ikilinganishwa na ukuaji wa mwaka jana.
Mwakilishi wa benki ya dunia nchini Rwanda Yasser El-Gammal, amesema mfumko wa bei nchini humo umesalia chini huku kukiwa na ongezeko la uwekezaji.
Hata hivyo benki hiyo imetoa wito wa kuongeza uwezo w sekta ya kibinafsi ili kudumisha ukuaji wa muda mrefu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |