• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • SOKA: TWENZETU AFCON 2019: Uganda yaibeba Afrika Mashariki

    (GMT+08:00) 2019-07-03 08:57:02
    Uganda the Cranes inabaki kuwa timu pekee inayopeperusha vyema bendera ya Afrika Mashariki baada ya kufuzu hatua ya mtoano ya michuano ya kombe la mataifa ya Afrika AFCON inayoendelea nchini Misri.

    Uganda imefuzu hatua hiyo baada ya takribani miaka 41 huku ikiziacha Tanzania na Burundi ikiaga mashindano hayo. Timu zilizofuzu hatua ya 16 bora kundi A: Misri, Uganda na DR Congo, kundi B ni Madagascar, Nigeria na Guinea, katika kundi C kuna Algeria na Senegal, nalo kundi D timu zilizofuzu ni Morocco, Ivory Coast na Afrika Kusini, kundi E zilizofuzu ni Mali na Tunisia na kundi la mwisho ni F, zilizofuzu ni Ghana, Cameroon na Benin.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako