• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • UM wachukua tahadhari baada ya vitendo vya kimabavu kuongezeka kaskazini magharibi mwa Syria

    (GMT+08:00) 2019-07-03 09:20:43

    Umoja wa Mataifa umechukua tahadhari kubwa kuhusu hali ya kibinadamu baada ya mamia ya watu kuuawa na kujeruhiwa katika vitendo vya kimabavu vilivyotokea katika maeneo ya kaskazini magharibi mwa Syria. Msemaji wa katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Stephane Dujarric amewaambia waandishi wa habari kuwa mashambulizi dhidi ya miundombinu ya kiraia na ongezeko la idadi ya watu wanaokimbia makazi yao linashuhudiwa na maeneo yanayodhibitiwa na yale yasiyodhibitiwa na serikali.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako