Mwenyekiti wa wakulima hao Issa Budhugo, amesema mgomo huo utaendelea hadi pale viwanda vitakapoongeza bei hado shilingi 140,000.
Lakini naye mwenyekiti wa watengenezaji sukari nchini humo Jim Kabeho, anasema wamepunguza bei baa ya kushuka kwa bei ya sukari sokoni.
Amesema viwanda vina sukari nyingi ambayo awali ilitarajiwa kuuzwa kwenye masoko ya nje.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |