• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Tanzania: NDC yapata soko la dawa za kuuwa wadudu nje ya nchi

    (GMT+08:00) 2019-07-03 19:49:57
    Kiwanda cha kuzalisha dawa za kuuwa wadudu cha shirika la taifa la maendeleo NDC kimepata soko la kuuza bidhaa zake kwenye soko la jumuiya ya nchi za kusini mwa Afrika SADC.

    Mkurungezi mkuu wa NDC profesa Damian Gabagambi amesema kiwanda hicho kilijengwa kwa ushirikiano wa Tanzania na Cuba.

    Amesema kwa sasa kinazalisha lita 570,000 kwa mwaka kutokana na mahitaji ya matumizi ya nyumbani lakini uwezo wake ni kuzalisha hadi lita milioni 6 kwa mwaka.

    Nchi zilizoomba kuuziwa dawa hiyo ni pamoja na, Angola Niger na eSwatini.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako