Kulingana na Migne, kikosi hicho kitaundwa na wachezaji wengi wa umri mdogo, huku akifafanua kwamba mastaa wengi wakongwe wataondolewa.
Nao baadhi ya mashabiki katika eneo la pwani nchini humo, wamemtaka kocha huyo ajiuzulu ama atimuliwe kutokana na matokeo mabaya ya timu hiyo katika michuano ya AFCON.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |