Bwana Shawn Lee, meneja mkuu wa Mbale Mbale industrial park amesema viwanda sita katika sehemu hiyo zitaanza shughuli mwaka huu.
Na kufikia sasa watu 600 wameajiriwa.
Eneo hilo la biashara lilitengenezwa na Tian Tang Group, pale Rais Museveni alisema ujenzi, ni kama sehemu ya ajenda ya viwanda.
Inatarajiwa kujenga fursa kwa makampuni ya Kichina kuwekeza nchini Uganda na kujenga kazi zaidi ya 15,000 kwa jamii.
Bwana Lee amesema eneo hilo linauwezo wa viwanda 60 na jitihada zinachukuliwa ili kuvutia wawekezaji zaidi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |