Urefu wa reli ya kati SGR, ni kilomita 1,457 kutoka Dar es Salaam hadi kaskazini mwa Tanzania, hii ni moja ya miradi ya miundombinu mikubwa inayotokana na serikali ya Rais John Magufuli.
Bajeti ya reli ni dola bilioni 7.5, na ratiba ya kukamilisha ni miaka mitano
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |